KARIBU
Mamlaka ya Rufaa ya Zabuni za Umma ijulianayo kama PPAA ilianzishwa na Sheria ya Ununuzi ya Umma Na.3 ya mwaka 2001 ambapo baada ya Sheria hii kufutwa, Mamlaka iliendelezwa chini ya Sheria ya Ununuzi ya Umma Na.21 ya mwaka 2004 na kuhuishwa tena kupitia Sheria ya Ununuzi wa Umma Na.7 ya mwaka 2011 baada ya ile Sheria Na.21 ya mwaka 2004 nayo kufutwa. Kwa mujibu wa Vifungu vya 88(4) na 97 vya Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2011, jukumu kuu la Mamlaka ni kupokea, kusikiliza na kutoa maamuzi ya malalamiko au rufaa zitokanazo na maamuzi ya maafisa masuuli katika michakato mbalimbali ya ununuzi wa Umma. Pia Mamlaka inajukumu la kusikiliza malalamiko yatokanayo na kufungiwa kwa makampuni (blacklisting of tenderers) na Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA).
Tunafanya Nini?
Kwa mujibu wa vifungu vya 88 na 97 vya Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2011, jukumu kuu la Mamlaka ni kupokea, kusikiliza na kutoa maamuzi ya malalamiko au rufaa zitokanazo na maam...
Read more
BONYEZA PAKUA KUONA AU KUPAKUA MAAMUZI (2014/2015)
KESI NAMBA
MLALAMIKAJI
MLALAMIKIWA
MAAMUZI
Kesi Na.1
M/S OKOAMUDA LTD
KITETO DISTRICT COUNCIL
Kesi Na.2
BONIFA...
Read more
BONYEZA KUONA AU KUPAKUA MAAMUZI (2015/2016)
KESI NAMBA.
MLALAMIKAJI
MLALAMIKIWA
MAAMUZI
KESI NA.1
M/S TRANSSYS SOLUTIONS FZE and M/S MACRO SOFTWARE SYSTEMS(T) LIMITED
...
Read more
BONYEZA KUONA AU KUPAKUA MAAMUZI (2016/2017)
KESI NAMBA.
MLALAMIKAJI
MLALAMIKIWA
MAAMUZI
KESI NA.1
M/S ZUMA OFFICE CLEANING ANDGARDENING
BABATI DISTRICT COUNCIL
...
Read more
BONYEZA KUSOMA AU KUPAKUA MAAMUZI (2009 - 2013)
KESI NAMBA.
MLALAMIKAJI
MLALAMIKIWA
PAKUA
KESI NA.59
MPUTA SECURITY SERVICES GUARDS & FULL TIME SECURITY
INSTITUTE OF...
Read more
NANI ANAWEZA KUWASILISHA MALALAMIKO AU RUFANI?
Mwombaji wa Zabuni ya aina yoyote kwa mfano aliyeomba
Kandarasi ya ujenzi,
Kutoa huduma za Ushauri,
Kuiuzia Serikali vifaa,
Kutoa huduma nyingine...
Read more
Sheria na Kanuni
Kanuni za Rufaa 2014
Kanuni za Rufaa (Marekebisho) 2016
Sheria ya Manunuzi ya Umma 2011
Sheria ya Manunuzi ya Umma (Marekebisho) 2016
Kanununi za Manunuzi ya Umma 2013
...
Read more