Mafunzo Matumizi ya Moduli ya Kupokea na Kushughulikia Rufaa na Malalamiko Katika Mfumo wa NeST
Mafunzo Matumizi ya Moduli ya Kupokea na Kushughulikia Rufaa na Malalamiko Katika Mfumo wa NeST
29 Apr, 2025 - 30 Apr, 2025
08:00:00 - 16:29:00
City Park Garden
0743505505
Mamlaka ya Rufani kwa kushirikiana na PPRA imeandaa mafunzo kwa wazabuni na watendaji wa taasisi nunuzi wa mikoa ya Mbeya, Njombe, Songwe, Iringa na Rukwa. Mafunzo haya yanatarajiwa kufanyiak tarehe 29 - 30 April, 2025 jijini Mbeya katika ukumbi wa City Park Garden. Wahusika wakuu wa mafunzo haya ni wataalamu kutoka Idara/vitengo vya Sheria, Tehama na Ununuzi/Ugavi. Mafunzo haya ni bure. Tafadhali thibitisha ushiriki wako kwa kujisajili kupitia link https://tsms.gov.go.tz/login na jisajili katika mafunzo. Mwisho wa kujisajili ni tarehe 26 Aprili, 2025. Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na Bw. Stanley Jackson kupitia namba ya simu 0622588519 au barua pepe: stanley.jackson@ppaa.go.tz au Bw. Nazael Mkumbo kupitia namba ya simu 0712016223 au barua pepe: nazael.mkumbo@ppaa.go.tz.
