Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma
( PPAA)

PPAA Logo

Maombi ya Kukazia Hukumu

Maombi ya Kukazia  Hukumu

Mshindi wa tuzo iliyotolewa na Mamlaka ya Rufani anaweza kuomba kukazia hukumu kwa kuwasilisha maombi kwa Mamlaka ya Rufaa. Maombi ya kukazia hukumu yanapaswa kuwasilishwa kwa Mamlaka ya Rufaa baada ya siku kumi na nne kupita tangu tarehe ambayo uamuzi wa Mamlaka ya Rufaa ulitolewa. Maombi haya yawasilishwa kwa kwa mujibu wa Kanuni ya 36 ya Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma.

Maombi haya yatafanyika kwa kutumia PPAA Fomu Na. 8 ( Bofya hapa Kupakua Fomu )  na kulipa ada (Bofya hapa kuangalia ada husika)

Anwani:

Katibu Mtendaji,

Mamlaka ya Rufaa ya Ununuzi wa Umma,

S.L.P 1385,

Dodoma.

baruapepe: es@ppaa.go.tz au barua@ppaa.go.tz